Lissu amefanikiwa kuubwaga tena upande Jamuhuri uliofungua kesi...

Lissu alishajua kuwa Jamuhuri haina kesi bali inataka kuiba muda huku akisota mahabusu hivyo mbinu hii ilikuwa ni ya kupunguza muda wa utetezi mahakamani. Pia kuinyima Jamuhuri fursa ya “delay tactics”
Lissu akawafanyia dissection ya kikatili mashaidi hawa “in their hairy tennis balls with a burdizzo”
Wataalamu wa mifugo wanaita hii process “castration”
Demeanor ya mashaidi hawa ikakosa worthwhile credibility kwa mujibu ya sheria ya ushaidi.
Mwisho kabisa Lissu akafanikiwa ku“expunge” kielelezo cha video iliyorekodiwa.
Naam!
Kielelezo ambacho ndio ilikuwa roho ya prosecution case
Haya yalikuwa yanaendelea huku tukielekea kwenye uchaguzi mkuu wa Oct 29, 2025
Lissu akarudi Makwaya na sisi tukaendelea na kampeni hadi siku ya uchaguzi.
Siku Lissu alipofikishwa mahakamani akawa anatoa tabasamu kama lile la kusuta la “si niliwaambia?”
Hapo ndipo Jamuhuri ikapanda mahakamani na notice mpya.
Kuwa inataka kuongeza ushaidi na vielelezo vingine vya ziada kupitia shaidi aliyekwishatoa ushaidi mahakamani (ACP Amini Kahamba)
Kuwa kufanya hivyo kunakuwa kumekiuka haki yake ya kuwa amesomewa mashitaka yake yote na ushaidi utakaotumika dhidi yake ili awe na nafasi nzuri ya kujitetea.
Kuwa mashtaka huwa hayaji kwa mtindo wa kuvizia kama komborela.
Hata hivyo baadae zikasambaa taarifa mtandaoni kuwa shaidi wa siri ACP Mahamba alishafariki siku nyingi, mkewe akiwa amempost kwenye mtandao wa facebook akiomboleza msiba wake.
Hapa watu wakabaki na kitendawili juu ya authenticity ya mashaidi wengine wake siri.
Hii haitakuwa udhaifu kwa serikali bali utakuwa ni ukomavu ambao utaweza kutufungulia tena fursa za uchumi pamoja na mikopo nafuu
End of night rant hoofmen

















